Skip to main content

AVAILABLE IN TANZANIA.. SIMPLY WAY TO USE Adsfly.....





There are common way wich i can use so as acan get peid with ads
~Make sure that your have account to connect with adsfly example .hav<!-- Start of adf.ly banner code -->
<div style="width: 728px; text-align: center; font-family: verdana; font-size: 10px;"><a href="https://join-adf.ly/25900723"><img border="0" src="https://cdn.adf.ly/images/banners/adfly.728x90.2.gif" width="728" height="90" title="AdF.ly - shorten links and earn money!" /></a><br /><a href="https://join-adf.ly/25900723">Get paid to share your links!</a></div>
<!-- End of adf.ly banner code -->ing account of g mail email...that can anable you to share your link ..that can help you to gein profit
~Avoid speed of need fast to be paid...every thing is slowly your need time to get paid even i have a long time and i do not reseave peiment ...but i think there is time come..
~Try to have familious with friend on yours socia neteorking system ..these can help you to get fast sharering and it help you to get paid...
~Use easy and atractive world ..
this its help you to trap more view in your link ..and we just know when your have more link visitor your earn more..
    Njia rahisi ya kuingiza kipato kwa kutumia akaunt ya adsfly 
 ---Tengeneza akaunti ambayo utaweza kuiunganisha na akaunt yako ya adsfly hii inakusaidia kuunganisha watu kutembelea akaunti yako na kupata watazamaji wengi.
  Usiwe na haraka kuhitaji malipo kuwa mvumilivu kwakuwa makusanyo ni kidogo kidogo hadi pale utakapoona manufaa
//jaribu kushea mara nyingi link zako utakazozifupisha hii itakusaidia kuweza kuonwkana na watu wend
Tembelea link hii kujiunga

<!-- Start of adf.ly banner code -->
<div style="width: 728px; text-align: center; font-family: verdana; font-size: 10px;"><a href="https://join-adf.ly/25900723"><img border="0" src="https://cdn.adf.ly/images/banners/adfly.728x90.2.gif" width="728" height="90" title="AdF.ly - shorten links and earn money!" /></a><br /><a href="https://join-adf.ly/25900723">Get paid to share your links!</a></div>
<!-- End of adf.ly banner code -->

ahsante

Mick daniel

Comments

Popular posts from this blog

Aua kisa cheo

MWALIMU ADAIWA KUUA MWALIMU MWENZAKE KISA CHEO... Mwalimu wa Shule ya Msingi Igaka, Samwel Subi anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Geita kwa tuhuma za kumuua mwalimu mwezake Emanuel Chacha (pichani) kwa kumchoma na kisu akiwa darasani. Kamanda wa Polisi mkoani hapa, Safia Jongo amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema limetokea Machi 15 saa 3:45 asubuhi wakati walimu hao wakiandaa mtihani kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la kwanza. "Kata ya Isulwabutundwe mwanaume wa miaka 35 katika Shule ya Msingi Igaka aliuawa kwa kuchomwa na kitu chenye ncha kali kwenye chembe ya moyo na mwanaume mwingine mwenye miaka 35 ambae ni mwalimu mwenzake. Walimu wote wawili walikuwa darasani wakiandaa mtihani ndipo mtuhumiwa alitoa kisu na kumchoma mwenzake kwenye chembe cha moyo," amesema Kamanda Jongo. Kamanda alisema chanzo cha tukio hilo inadaiwa kuwa ni ugomvi baina ya walimu hao ambao walikuwa wanagombea uongozi kwenye kitengo cha elimu ya kujitegemea. "Uchunguzi wa tukio hilo...

JE NI UGONJWA AU ULEVI?

Pichani ni Methew Hogg Raia wa Uingereza ambaye ana ugonjwa unaoitwa auto-Brewery Syndrome.  Ugonjwa huu ni kwamba Mwili wake una uwezo wa kutengeneza Pombe wenyewe endapo tu atakula chakula chenye Sukari au Wanga.  Hogg anasema endapo atakula Sahani Moja tu ya wali Mwili wake hutengeneza pombe yenye kiwango cha Chupa tatu za Wine kali kabisa. Jamaa kila siku huamka na hungover ya kufa mtu.  Akiwa mdogo alikuwa hajaelewa kuhusu ugonjwa huu hivyo akiwa shuleni alikuwa akilewa hovyo hovyo pindi anapokula chakula chenye wanga, sukari au Amira.  Fuata link hii kumsoma zaidi. Pombe inayotengenezwa tumboni kwa jamaa wanasema ni kali sana. Picha ya pili hapo ni kwamba jamaa anataka kulewa akila huo mkate

Watering simply

 Project of watering system at your home do it's try it it save water                  https://youtu.be/nEVqE09aRvA 👆 It's just simple to do just like  Look video here 👇 https://youtu.be/nEVqE09aRvA To have fire  Needle